Fire On The Altar Tanzania – CCC Upanga

On the night of February 17th, 2023, an altar of Praise and Worship will be raised throughout the nation of Tanzania. This event will be a thanksgiving and worship night to thank Jehovah for His loving kindness, mercy and favor to the people of this nation. There will be intercession and prayer for the Lord to continue to show blessings and favor to the leadership, government and people of Tanzania.
(Usiku wa tarehe 17 Februari, 2023, madhabahu ya Sifa na Ibada ya Uimbaji itainuliwa juu ya taifa la Tanzania. Tukio hili inalenga kuwa ibada ya shukurani na kuabudu kwa kumshukuru Jehovah kwa upendo wake, huruma na kibali kwa wananchi wa taifa hii. Pia kutakuwepo na maombezi kwa Bwana ili aendelee kuonyesha baraka na kibali kwa uongozi, serikali na watu wa Tanzania.)

The event is expected to be broadcast live on national radio and there will be prayers for those who are sick and have various ailments to receive healing and deliverance from their circumstances. The District Commissioner of Ilala is expected to open the event as a representative of the Government of Tanzania at 8:30pm.
(Tukio hili inategemewa kurushwa mubashara kwenye redio ya taifa na pia kutakuwepo na maombi kwa walio na magonjwa na matatizo mbali mbali ya kiafya ili waweze kupata kukombolewa na matatizo hayo. Mkuu wa Wilaya ya Ilala anategemewa na amealikwa kuwa mgeni rasmi ili aweze kufungua tukio hili kama mwakilishi wa serikali ya Tanzania saa mbili na nusu usiku.)

Worship teams will be there to minister to God and a minister from Kenya has been invited and is expected to grace the event as prayers will also be lifted up for neighbouring countries in East Africa.
(Timu za kusifu na kuabudu zitakuwepo ili kumhudumia Bwana na mtumishi kutoka Kenya naye amealikwa na atakuwepo kwa kuwa maombi pia kwa ajili ya nji jirani za Afrika Mashariki zitafanyika.)

There is no entry fee but as there are limited seats in the venue entry will be by free registration on this link and by registering at the venue in advance to get a pdf ticket. The event will also be live streamed on Youtube and Facebook.
(Hakuna kiingilio lakini kwa kuwa ukumbi una idadi maalum ya viti kiingilio itakuwa kwa kusajili kwenye tovuti hii au kwa kusajili kwenye ukumbi ili viti vihifadhiwe na kupewa tiketi ya kuingia bure (pdf). Pia tukio litarushwa mubashara kwenye tovuti za Youtube na Facebook.)

Value Others and Love One Another!

Now is as good a time as any to reflect on whether you are exhibiting the love of God found in Christ and shining your light or are being a clanging cymbal as Paul describes in 1 Corinthians 13. Your speaking in tongues and prophesying and knowing all mysteries amount to nothing if you do not have love for others whom you can see and yet profess to know and love God whom you have not seen.

As we approach the years end and make New Years resolutions for 2023 determine to make love the centerpiece of your life. This is regardless of whether it is reciprocated or not. This should extend to even those who do wrong to you. Forgive and love. Let your first love resurface. Let your light shine in a world where darkness and despair rule the headlines.” Be blessed!